HORMONE IMBALANCE

 *DALILI ZA HORMONE IMBALANCE*

 

KWA: *MWANAMKE*

🛑UKAVU ukeni

🛑Maumivu wakati wa tendo.

🛑Maumivu chini ya kitovu.

🛑Mabadiliko ya siku za hedhi.

🛑Kupata/kuwa katika kipindi Cha hedhi kwa muda zaidi ya siku 7

🛑Kukosa hedhi kwa muda mrefu

🛑Kutopata hedhi (balehe) adi umri wa miaka 20.

🛑Kusahau Sana/Kukosa kumbukumbu.

🛑Kuota chunusi

🛑Kuota ndevu

🛑Kusinyaa kwa uke.

🛑Kutokupata usingizi vizuri

🛑 Kuon


geza uzito ghafla.

🛑Kupata choo kwa shida/kuharisha.

🛑Kutokuwa sawa kwa mapigo ya moyo

🛑Kichwa kuuma Mara kwa mara 

🛑Uchovu wa Mara kwa mara.

🛑Ngozi kuwa kavu Sana.

🛑Maumivu ya mifupa na viungo.u

🛑Kujisikia joto ghafla wakati wa Usiku.

🛑Chunusi wakati wa hedhi au kabla.

Post a Comment

0 Comments